Search results

  1. K

    Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli

    KIFO Kila nafsi itapatwa na kufikiwa na KIFO,Tulio hai hatupendi kusikia mpendwa wetu amefariki,tunafikia hata hatukubali kuwa umri wa miaka 50na kuendelea ni umri wa kufariki,na walio hai wenye umri wa miaka 80 ni wachache mno,na wenye miaka 100ni. kama hamna,hamna kabisa kwa walio hai Kila...
  2. K

    Namna Airbus A220-300 ilivyoisababishia hasara ATCL

    Fuata misamiati ya kitaaluma
  3. K

    Namna Airbus A220-300 ilivyoisababishia hasara ATCL

    Kuna kitu kinaitwa"profit organizations"na non profit organizations"misamiati yake ni minne,profit organizations tuna;profit/faida,loss/hasara na kwenye non profit tuna surplus/ziada na shortage/upungufu.Hiyo ATCL ni profit corporate hivyo tunatarajia profit or loss.
  4. K

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Ni subjective"kwa wale watumishi wanaostaafu tayari Wana nyumba na rasilimali nyingine 33% ni Bora kuliko
  5. K

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Kitu ambacho wasiowatumishi hawajui ni kuwa wastaafu awali walilipwa kwa mkupuo mwanzo 50% ya pension na 50% iliyobaki waliendelea kulipwa kwa miaka isiyozidi 13;Iko hivi kama pension yako ni TSH 200,000,000/=utalipwa kwa mkupuo TSH 100,000,000/=na iliyobaki yaani 100,000,000/=utalipwa kwa...
  6. K

    Kuna nchi Afrika Mashariki inayomiliki ndege za kivita zisizotumia rubani?

    Hiyo habari imetoka :CNN,Al jazeir,BBC,Reuter , SKy au houth tv
  7. K

    ITIFAKI: Ni nani Mkubwa kati ya Waziri Mkuu na Spika wa Bunge?

    Hapana.....ila ukiwakuta mahala asipo Rais;Pm,Spika na CJ basi uliojichimbia chini zaidi ndio wenye nguvu na ni Mkubwa
  8. K

    Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

    Botswana yenye karibia sq kilometre 582,000 zaidi ya nusu ya Tz Ina kabila Moja tu,akili zao,matamanio Yao,Kila Moja wao apate .Kwao kiongozi wa taifa ni kama Chifu,na taifa lao ni kama Jimbo.Kwao hakuna mfalme Jeta wa kusadikika.Shaban Robert.
  9. K

    Msuya atueleze aliko Sokoine

    Ccm na sio Bungeni?kazi kweli kweli💤
  10. K

    Bwawa la kufua umeme la Nyerere ni dogo mno kulinganisha na uwezo wa maji katika bonde la mto Kilombero na Rufiji. Tulipaswa kutengeneza walau 6000MW!

    Ni ukweli Taifa hata mtu binafsi kunatakiwa kuwa na benki ya takwimu/data . Labda zipo takwimu za ni cubic meter za Maji ngapi yanayopotelea baharini za mito ya Ruvuma,Rufiji,Pangani .Kazi ya kukusanya,kuchakata,kupanga na kutunza(benki)ni lazima zifanywe na watumishi waliosomea,je ukienda pale...
  11. K

    Makonda adaiwa kukataa nyumba ye Serikali, inasemekana anaishi Hoteli ya Nyota 5

    Inajulikana Watumishi wa umma wanaishi na kutenda kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa umma na Kila kundi na daraja la utumishi wanalipwa stahili zao kwa mujibu wa nyaraka mbalimbali za malipo ya stahili za mtumishi,Yote haya yanasimamiwa na Afisa masuhuli wa eneo husika(RAS),kwa vyovyote RC...
  12. K

    Kamwe na katu Lema hawezi kupita Ubunge Arusha Mjini chini ya Uongozi wa Makonda

    Kwani Watanzania wanahitaji nini,wanahitaji kiongozi atakayesimamia haki zao za kikatiba,atakayesimamia maendeleo Yao,usalama wao,huduma za jamii,kiongozi asiyesimama na mafisadi,na asiyembaguzi wa namna yoyote kama Mh Makonda atakuwa hivyo basi Lema asiote ndoto,la sivyo Makonda atapigwa...
  13. K

    Rais Samia: Tuna 99% ya Hati Safi na 1% tu ndio Hati Chafu, Ripoti za CAG zinatusaidia Sana Tunasonga mbele!

    Hii ni"True na Fair view"yaani zinaita kijiko kijiko na Lebeshi Lebeshi.
  14. K

    CAG: Wastaafu na wenza wao wanaigharimu NHIF Tsh 84.7 billion kila Mwaka Bila Wao kuchangia

    Ni kama vile wao hawatastaafu ,NHIF ni bima ya afya watumishi wanachangia Toka mishahara Yao,wako wengi walichangia kwa muda wao wote wa utumishi wao na hawakuwahi kuugua hata siku Moja,Na makubaliano ni kuwa wataendelea kutibiwa kwa muda wa maisha yaliyobaki,eti Leo wanaonekana ndio...
  15. K

    CAG Kichere: Licha ya kupewa Ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22

    Nashauri Ile taarifa ya Mkaguzi wa ndani ndio iwe inawasishwa Bungeni,Bunge la mwezi Sept au wa kumi,hii Iko more current na uzuri mmoja haitofautiani sana na hii ya CAG ambayo inatolewa baada ya miaka miwili 2022/2023inatolewa 2023/2024
  16. K

    Mwarabu wa Dubai, Emirates National Group (ENG) wapewa kazi ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

    Kama wameamua kubinafsisha na iwe total wasimamie uendeshaji,ukusanaji mapato,Admin Yaani walipe gharama za Barbara na Kodi ya serikali basi.Udart wapewe kazi nyingine.
  17. K

    Umri miaka 91, Paul Biya Mitano mingine: tuendelee kujifunza

    CUF,DP,UDP,UDPP, na wale wengine ambao hata majina yao hayafahamiki wao ruksa kama Bia hata miongo mitano si Milango III wazi!.
  18. K

    Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ya mwaka 2024 | Tanzania Independent Electoral Commission Act, 2024

    Kuchagua M/kiti mkutano Mkuu wa CCM Dodoma wenye wajumbe zaidi ya 1200 ;upigaji,uhesabuji ,utangazji na usimikaji wa mshindi hauchukui zaidi ya dakika 90,tume huru iachane na huu utaratibu wa timu iliyokuwa si huru uchaguzi wa kata yenye wapiga kura chini ya 1000 kuchukua siku kibao ndipo...
Back
Top Bottom