Trillion 40 sawa na dollars billion 20 na billion 500 sawa na 250milion us dollars... Afu kwa 5yr zikopwe..??? Huku deni la Taifa ni trillion 50 sawa na 25 us billion dollars..elimu muhimu sana kwa watu
Hongera kwa simulizi hii mkuu...tambua tupo wengi ambao tunakufatilia,tunajifunza mengi kutokana story hii..Mungu akupe maisha marefu zaidi na afya njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu nakubaliana na wewe 100%...me najenga kwa ajili ya family wasilale nje....ukiwa na kwako na ukafeli kwenye business/uwekezaji haina makali sana kama usipokuwa na sehemu ya kulala ambapo huwa ni hatari zaidi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu labda nikuhakikishie tu...sina loan kwenye bank yeyote....Siamini katika loan kuendesha project ndogondogo kama kujenga nyumba.... Mzee wangu kanifundisha loan siyo nzuri kama una-one source of income.... Na kuwekeza ndo muhimu zaidi kwa sasa... Nakubaliana na wewe kwenye hoja yako but me...
Asante Mkuu kwa ushauri wako niko mbioni kuanza business ya Mchele wa kyela.... Mwaka huu nilifanikiwa ila c sana but nilipiga hatua. Kubwa....nilikuwa naunua mpunga wakati wa kuvuna kwa bei ya 80k-90k kwa gunia la debe 10 za mpunga.... Nikaweka steka mashime...nimekoboa December to January hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.