Wanawake ni wengi sanaa, wanaume tuko wachache sana hasa sisi marijali. Maana na wengine wamekuwa mashoga. Kwahiyo wanawake kuweni makini sisi ni dhahabu ukipendwa na mwanaume rijali kaa tulia mtafute pesa
Habari za usiku wanajamvi !!!!
kama kichwa kinavyo jieleza .
Mimi debless nimewaza sanaa juu ya jina zuri la kumpa mtoto wa kiume .Nikajikuta na Jina hili "Bright " kichwani mwangu .Sasa nataka kujua jina hili huku kwetu(Africa) linatumika kwa jinsia gani ?
Karibuni wadau mnisaidie juu ya hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.