Ninawafahamu hao wote, tuko nao CCM wote, nimeamini chama chetu cha CCM kinatumia propaganda za kizamani, kwani hatujui kuwa hawa vijana kila siku wana shinda pale Lumumba wakiwa na sare? Ona sasa jinsi chadema walivyotuumbua kwa kuwaonesha wale vijana wakiwa na sare zetu za kijani.
Ubunge tu hakushinda na aliiba kura, huyu ndiye tumuote eti Askofu? Hapana ! Askofu ni lazima awe MTU wa haki, MTU anayeichukia dhuluma, mtu anayeishi ndani ya ukweli, huyu hawezi kuwa askofu.
Under what act in our current constitution that prohibit political activities in the nation? The President has no power to prohibit political activities in the nation. Unless we seek for the new constitution.
Kwa mujibu wa sheria ukitakiwa kukaguliwa sharti kuwe na mambo yafuatayo
1. Shahidi wako mkaguliaji
2. Shahidi wa mkaguaji
3. Mwenyekiti wa s/ mtaa
4. Muda usizidi SAA 12 jioni.
5. Kibali cha ukaguzi kilichotolewa aidha na mahakama au kiongozi wa juu wa jeshi la Polisi
6. Saini zinazoonesha...
Wewe unafikiri kila mtu yupo mjini? Kuna mtu yupo Maisome hakuna benki wala wakala lakini kuna mpesa, kutoka hapo kwenda benki kiometa 130 itawezekana kweli? Think big.
Ki ukweli mh. Diallo ameusema ukweli, JPM alikuwa katili , muuaji na mnyanyasaji. JPM alichukiwa na watu kuliko shetani. Diallo amethubutu kusema kweli , hatukujua kuwa alikuwa na file milembe hospital.
Nimeamini kuwa huyu mwendazake watu walimchukia kupita shetani. Alitesa watu , aliua watu, alinyanyasa watu, nakubaliana na mh Diallo kuwa alikuwa na file milembe.
Ki ukweli hapa Sengerema kuna vifo kila mahali, tunashindwa tumzike nani, tuache nani. Naona watu hawana habari za barakoa, wanaamini Yale maneno ya mwendazake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.