Kumbe wewe huelewi kabisa. Sheria mbona iko wazi kuwa wabunge wote wa bunge hili watakuwa wajumbe wa bunge la katiba. sasa unategemea Tundu Lisu na Lema watakosekana. Ila na wewe nilikuwa nakuona wa maana kumbe hamna kitu kabisa.
Huyu jamaa Lemutuz ni matatizo matupu elimu yenyewe aliyonayo ni ndogo halafu haina mchango wowote kwa jamii halafu anaisifia sana kweli huyu ni makutu kabisa. Huyu ni mwafu kabisa.
Kaka mbona huwa nakuona wa maana sana hivi mtu akikamatwa na nguo za CCM ni lazima awe mwanachama wa CCM. Kaka wakati mwingine hata mwehu huwa anatafakari kabla hajaandika kitu. Poleni sana ndugu zangu
Ila wewe ni mwehu kweli ninamkumbuka kaka yako wakati anasoma Highland alikuwa ana akili lakini wewe ni majanga kabisa. Mbona unahangaika na vitu vya kipumbavu tu.
Ila na wewe ni mwehu kweli. Hivi watanzania mnafikiri ni wajinga kiasi hicho. mnafikiri hawajui wizi wenu manaowaibia kila kukicha. Mnatafuna jasho lao kila kukicha halafu mnasema wavivu.
Kumbe ID yako nyingine ni Mwangalizi.
Aliyo kuambia ni sahihi kaka ni lazima ujutie hayo mnayoyafanya huyu mungu ni waajabu sana kuna siku atawageuzia kibao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.