Jaman msaada me nilimaliza mwaka jana six nina BDD cutoff point 4 masomo mawili yan BD sasa naweza kupata chuo hapo au nikalime mchicha coz mwaka jana nilipata chuo nikahairisha kwenda
Sir doctor ulitumia matokeo yako ya G.P.A ya six mwaka jana na je vipi mfano mtu alipata BDD je anakubaliwa kudahiliwa chuo kikuu coz ana cutoff points 4 hapo kwa masomo mawili
Jaman mbona kwenye guide book wameandika D ya mwaka 2015 ni point 1 hii inakuaje sasa maana mwenye B Plain ni 3 maana yake ukiwa na BD ungechukuliwa tusaidiane hapo??
Is not.fair kabisa hapa kazi tu, imegeuka hapa woga tu, watumishi kufanya kazi kwa ueledi umepungua sasa wanafanya.kazi kwa woga tutashuhudia mengi sana ndani ya miaka hii 5
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.