Habari za Wakati huu wana Jamii, nimechaguliwa na TCU kufanya mtihani wa RPL ambao utafanyika jumatatu ya wiki ijayo 10th July, Kwa wenye experience na huu mtihani naomba msaada kujuzwa ni aina gani ya maswali wanayotoa mana hakuna notes wala lecture yoyote wanayotoa kuelekea mtihani huu.
Wanajamvi naombeni msaada,
Nipo nalipia NACTE kupitia M-pesa ila nikifika sehemu moja inaniambia niingize namba ya akaunti. Hapo mbona sielewi?
Hiyo namba ya akaunt ni ipi? Msaada please nakimbizana na deadline hapa
Wana JF naomba msaada wenu, namtaftia mwanangu shule ya bweni inayotoa elimu ya A level ila napenda iwe ya kiislam ambayo inafanya vizuri kwenye matokeo ya form six, iwe mkoa wowote ule nipo tayari kumpeleka. Kwa yeyote ambae anafaham hizo shule ushauri please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.