Uongo mtupu, wanaweza wakawa na green card zinazowaruhusu kuingia na kutoka ktk nchi hizo lkn sio uraia. Na sio kosa kwa na green card the rest ni upumbavu na wivu
Uteuzi wa Katibu wa Bunge
Rais ameendelea kuvunja Sheria za Nchi.
Sheria ya Utawala wa Bunge inataka Rais kuteua Katibu wa Bunge kutoka kwenye orodha ya watu 3 ambao wamependekezwa na Tume ya Huduma za Bunge.
Rais John Magufuli ameteua Katibu Mpya wa Bunge bila mchakato huu kufanyika. Ni...
Amuombe radhi kwa lipi ?makonda Hakudanganya elimu yake au majina anayotumia sio ya bandia au hakukwapua vyeti
vya mtu mwingine? Wewe kubwa jinga acha upumbavu wako.... hunaga akili!
Mwanakijiji dunia hii yote ikiamua kutafuta haki kwa style hii itakalika kweli!?
Yaani nchi itunge Sheria, bunge lipitishe, rais atie sahihi, waingie mikataba, then gafla wanageuka...? Duhhhh
Mesi amefunga magoli mengi lkn hayana impact kubwa kwa timu yake, Ronaldo amefunga magoli machache na Hasa ktk mechi muhimu sana, na kupelekea Madrid kufikia malengo ya jumla ktk msimu!
Kwangu Ronaldo amekuwa bora
– The club that had qualified for a UEFA Champions League play-off spot via their domestic league competition (i.e. finished fourth) transfer to the UEFA Europa League.
+++++++++++++++
Inamaanisha nini hii paragraph ,watu wanapenda kubisha vitu vilivyo wazi
Mahakama imeagiza wakili aende Leo kwenye kesi,wao wakijua hilo,wanamkamata siku anayotakiwa kwenda mahakamani,ni kuingilia maagizo ya mahakama na uendeshaji wa kesi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.