Wana jamii nimesikia kuna vurugu kubwa zimetokea mwanza na inasemekana kuna watu watatu wamepigwa risasi na polisi.
kama kuna watu wenye habari zaidi atujulishe.
Inasikitisha sana kuona mpaka sasa serikali haijasema lolote kuhusu kilichotokea Arusha,tunaomba waziri husika atoe tamko na aoneshe nini msimamo wa serikali na je ikibainika kweli kuna watu wameuawa ni hatua gani polisi waliohusika watachukuliwa? na atuambie ni kwa nini polisi wa Tanzania...
Ukiangalia Chanel ya CITIZEN ya Kenya huwa wana kipindi maalum huwa wanaonyesha watu wanaoshikilia uchumi wa Kenya kwa kuwa na vitega uchumi almost nchi nzima mfano ,mmojawapo ambaye Citizen wamemuonyesha anashikilia uchumi wa Kenya ni MOI Ambaye Ni owner wa Vyuo,Shule,Mahoteli,Viwanja na...
Wana jamii ni ukweli usiopingika mwezi wa kumi na mbili mwishoni Dar es salaam foleni huwa zinatoweka kabisa,je ingekuwa namna hii the whole year si wananchi wangepiga hatua kubwa za kimaendeleo kuliko kupoteza a lot of time kwenye foleni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.