Wafanyakazi waliofanya hila zao kwenye mashine hiyo wamechukuliwa hatua gani?inaonekana mashine ilikua nzima.Hawa ndio wanaompinga Rais na juhudi zake,alafu mnasema wapinzani...
Umejifanya km mtu aliefungwa kwa kujiusisha na biashara hii haramu ili tupate somo. Vzr.lakini kmbk kuwa hawa watu wanajitolea mwanga kwa sbu ya shida na dhiki.Maskini kama mm ntapata wapi pesa ya visa,passport pamoja na ticket, kama co mpango unaosukwa na wafanyakazi wa s/Kali bila kumuona...
La maana ni kurejesha katiba ya Jaji Warioba ambayo inawabana viongozi wa s/Kali, wabunge hata na Rais pia na ndipo kutapatikana namna ya kwabana wafanyabiashara/wawekezaji na kumpa m/nchi nguvu. Ndo maana walilipiga chini ya Warioba wakaweka inayowatetea/kuwalinda.Sasatujifunze huo mfano mdogo...
Mmiliki ni m/kiti wa ccm. Nimewai kuona s/kali ikishinda kesi dhidi ya prof:Juma Kapuya na wenzake,ambayo kufungwa kwao hakina faida kwa taifa kufuatana nahsara walioipa s/kali
Mmiliki ni m/kiti wa ccm. Nimewai kuona s/kali ikishinda kesi dhidi ya prof:Juma Kapuya na wenzake,ambayo kufungwa...
Wewe ukienda kinyume utashtakiwa tena utaambiwa."kutokujua sheria sio kinga".je!yeye Magufuli mwenye washauri lukuki anapokosea tumfanyeje?ukitaka kuongoza kidikteta lzm ubadilishe katiba.kama walishindwa kutaifisha mali za waliochota pesa EPA,ESCROW,IPTL,MEREMETA,na mengine mengi kama hayo ,kwa...
Hawa watu walinunua/kuagiza sukari kisheria na nchi inatambua hiyo ndiyo maana wametembelewa na serikali,cha kufanya serekali inunue kutoka kwao au iagize kutoka nje na kutelemsha bei ili washindwe kuvirundika lkn cio ubabe, Kumbuka kuwa s/kali yaMKAPA iliruhusu soko huria,Nani alitengua hilo...
Tamaa zako tu, ulinyimwa nafasi kugombea nafasi ya urais ndo maana. Kama EDO L. Ni jipu kwa nn asitumbuliwe, hajawai hata kutamani kwenda nje ya nchi kama ww ulivyotaka. Tunasubiri, badala yake wameanza kumuongelea kwenye kamati kuu ccm;kumbe bado wanajua umuhimu na ubora wake!!!!!? Weeee ulie tu
Kuna kitu kwa kinaitwa,"Contract agreement."Kama alifanya hiyo ni alali yake,lkn kama hiyo hakuna asisumbue raia. Haingii akili uache kazi yako, unakwenda kufanya kazi isiyo na makubaliano, hata Rais amepewa mkataba yenye malipo Inayofahamika alafu unabaki kusubiri amri ya Rais.wasilisha hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.