Marekan alimtengeneza ili au waislam kisingizio ugaid akamuua kiuongo ili tusifie opereshen yao sasa anaitaj kumtumia tena ndo ananza kwa style mpya na akitaka atakua hai kweli
anaetakiwa kulipa mshahara kwa anaestahili ni serekali anaetakiwa kusitisha mshahara ni serekali mishahara yote ni matunda ya kodi za wananchi kama sheni anapokea alitaka seif akatae? yote kwa yote kupokea mishahara hakuhalalishi serekali ya kiimla inayoendelea kutawala kinyume cha katiba
unasema kinachomponza ni kuhubir chuki dhidi ya dini nyngne wakat mahakama inamuacha huru hana hatia upooo....kama kuhubir chuki gwajima kamtukana kabisa hadharan kadinali pengo mkatoliki na yuko nje anaendeleza umbashalism na hafungwi
jitazame sana kumuongelea zito kama unamuongelea muuza kahawa kutakuumiza,,,,muulize kafulila,,,,ukawa tukitaka tuwe threat kwa ccm2020 tumpe nafasi zito kinyume na hapo.....shidahhhh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.