Dah inaelekea watanzania wengi hatuelewi wat goes on inside bunge na wengi siasa tumeijua uchaguzi huu..mambo ya upinzani ni chama cha upinzani chenge wabunge wengi..na wanakaa kufanya makubaliano yao..na hatimaye mawaziri vivuli..so tuwe watulivu tu
I beg to differ..watu walipewa vibali na wakaruhusiwa kabisa kujenga those facilities..sasa kumwambia serikali aingie tena gharama sidhani ni solution
Pia in the long run kuwe na mpango mji, sehemu mpya zijengwe vizuri na kwa utaratibu
Yaani sehemu nyingine huelewi ni makazi au kumbi za starehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.