Nina Hard disk ya GB 500 imekuwa RAW ghafla na nikijaribu kuiformat inasema cant Format hata kwakutumia disk managment any other solution msaada plz [emoji1430][emoji1430][emoji1430]
Inahitajika receiver ya Sony DAV-DZ350 1000W yangu imezingua inawaka kitaa cheupe ktk screen tu na amna kitu inafanya baada ya apo au mwenye ujuzi ktk hili basi tuwasiliane kwa +255657900003. Niko Dar es salaam
Kama watumia android download app inaitwa facebook videos downloader ama kama watumia ios basi download app inaitwa download then utalogin fb kama kawaida na kisha baada ya apo utakuwa ukiplay izo video kwa kutumia izo app inakupa sehemu ya kudownload
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana shaka ndugu yangu umekipata ambacho ulikuwa unakitaka kwa maana bila kuwa na kigugumizi cha maneno hii kiki na ushaipata ndio maana raia wameweza kukujibu kwa hoja zao ama sivyo ilifaa wakupuuza kbs ni hayo tu maana nakupatia picha na familia yako inakutegemea bila shaka kupitia vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.