Kwa wateja wa mtandao wa tigo jijini Arusha watakua wana nielewa point yangu.Katika maeneo mengi ya mji wa Arusha mtandao wa tigo umekua ovyo sana haswa kwa matumizi ya internet.
Kabla ya ku access internet utaona network iki approach H+ lakini ukianza ki access maramoja utaona network iki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.