Bodi ya mikopo elimu ya juu imetoa access nyingine kwa ajili ya kulipia Madeni kwa wanufaika wa mkopo.Je,kwa njia hii unaeza lipia mwenyewe yamkini kwa Mpesa na kwenye mshahara wasikate au hii imekaaje?
Naomba msaada kwa anayefahamu shule nzuri (Private Schools) ya kidato cha tano katika masomo ya sanaa katika mkoa wa Dodoma,Kagera,Manyara,Tabora na Morogoro.Ni vema ukanifahamisha ada ni kiasi gani.
Naombeni Msaada wa maelezo zaidi.
TCU wametoa hili tangazo
Invitation to apply for recognition of prior learning (RPL) Examinations as a pre_requisite to join degree programmes into higher learning institutions for Academic year 2017/2018.
Nimesoma vizuri lakini sijaelewa hasa wanataka mtu awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.