Wanakera sana hata mimi nilikuwa na safari ya saa 2 usiku wakabadilisha muda wa safari bila kututaarifu.tumekaa airport bila kujua chochote kila ukiwafuata kuwauliza wanakwambia subiri check inn itanza muda mfupi ujayo.mpaka mwisho moja ndio akatuambia kwamba ndege imebadilishwa muda mpaka saa 5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.