Mkuu ni vema ukashea chanzo chako kwa uwazi zaidi. Idadi ya juu zaidi ya wachina waliopo Tanzania niliyowahi kuisikia ni 30,000 (elfu thelathini). Pamoja na chanzo hapo Chini nimewahi kumsikia Balozi Lu akisema. Kumbuka pia China kuna watanzania wapatao elfu kumi. Mwenye idadi kamili ambaye...
Kichwa cha habari kimenichanganya, au pengine nina upungufu wa kiswahili kichwani. Nilielewa kwamba madaktari wamefanya mgomo kukataa kudai mishahara yao..
Mkuu naona unakuja na wazo la kuanzisha taasisi au mamlaka mpya. Ukumbuke kwamba hii nchi ina taasisi nyingi na nyingine zinaibuka kila uchao. Sidhani kama suluhisho la kila tatizo ni kuanzisha taasisi mpya. Wakati mwingine ni swala la kuimarisha tu taasisi zilizopo.
Pili baadhi ya hayo...
Hapa kuna mambo mawili. La kwanza ni uwezo na uthubutu wa Viongozi kuwajibishana. Hili ni jambo ambalo tumelikosa sana nchini kwetu, na ukosefu wa uthubutu huu umeigharimu nchi yetu kwa kiasi kikubwa.Kama taratibu zimefuatwa basi hiyo ni hatua moja muhimu.
La pili hata kama sheria zimefuatwa...
Barua pepe kama hii hapa chini huwa nazipata nyingi sana kama spams. Ila inmegundua pia kwamba watumishi wengi wa umma wanashiriki hizi semina na zinga gharama kubwa kuanzia ada mpaka gharama za malazi.
Je semina hizi huwa zina tija kwa taifa letu au ni namna tu ya kuzipa pengo la mishahara...
Nilishawahi kujiuliza kwe nini hii nchi haiangalii matumizi endelevu ya nishati sambamba na kuongeza megawati?
Kuna wakati tanesco ilikuwa na matangazo ya zima kifaa cha umeme kama hukitumii. sijui hiyo kampeni iliishia wapi.
Pia sijui ni kwa kiasi gani wasanifu majengo wetu wanalipa...
Bora umeliona hilo. Maana ONYO linahusu kutovunja kanuni za chama. Haki zao zote katika chama zinabaki pale pale, hata uchaguzi ungekuwa ndani ya hiyo miezi 12 bado wangekuwa na haki ya kugombea kwa kufuata kanuni.
Niungane na wengi walioonyesha kumkubali ndugu Mohamed kwa umakini wake katika kujibu maswali. Hata hivyo napenda nionyeshe dukuduku langu katika utata unaojitokeza katika majibu yake.
Dhima ya majibu ya bwana Mohamed inaweza kubeba sura tatu tofauti:
1. Kusema ukweli au kutoa simulizi ya...
OMBI
Kufuatia hotuba hii, ningefurahi sana kupata ufafanuzi katika hili Emanuel Makene tafadhali nisaidie. Mambo haya yana maana kubwa sana katika sera ya ushirikiano wa kimataifa katika serikali ya CHADEMA.
1. Kwamba hotuba hii ni halisi kama ilivyosomwa na Dr. Slaa kwa wamarekani.
2. Kwamba...
Hoja tano katika hizo saba zinabeba dhamira ya kisiasa ya chadema kutwaa dola.
Mbili zilizobaki ndio zinazomuangalia mtanzania na matatizo yake. Na katika hizo mbili uchambuzi wa kina unahitajika kuona kama kuna sera zenye nguvu na uhalisia.
Kusema CCM imeshindwa ni hoja ya nguvu ya upinzani...
Fafanua vizuri kabla hatujaendelea kumshangaa. Amesema havijaweza au havitaweza?
Maana hayo ni mambo mawili tofauti yanayotegemea mipango ya huko tuendako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.