Search results

  1. F

    Katibu wa CHADEMA(W) apokea fedha kutoka CCM

    Asante kwa taarifa, wahusika wamelipata na watalifanyia kazi
  2. F

    Hivi Uingereza waliwezaje Kutawala Dunia?

    Ni kwamba hata hapo Sudani kusini kama hatuna ubalozi basi incase ya tatizo lolote tunakwenda ubalozi wa Uingereza japo kuna ubalozi wa nchi jirani km Kenya na Uganda. Ndo maana nakuambia tafuta passport ya Tz uisome badala ya kubishana ndugu. Nilipokwenda huko Papua New Guinea pale Port Moresby...
  3. F

    Hivi Uingereza waliwezaje Kutawala Dunia?

    Una paspot au ndo ubishi tu? Mwombe aliyenayo akupe uisome. Ilinitokea mimi nilipoenda PAPUA NEW GUINEA nilihudumiwa na ubalozi wa UK
  4. F

    Hivi Uingereza waliwezaje Kutawala Dunia?

    Mkuu Uingereza ni Nci kubwa sana kwa kila kitu interms ya UCHUMI, KIJESHI na kiutamaduni. Kama wengine walivyosema UINGEREZA ipo kwenye G10, ni Nchi ya 6 kijeshi duniani na so far ndo mhisani wetu mkuu. Kama una paspoti unaelekezwa kuwa endapo upo nchi ambayo haina ubalozi wetu basi tumia...
  5. F

    Mbowe anastahili pongezi & certificate of appreciation na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa

    Mbowe is Greatest Visionary and Politician of the century in TZ so far!
  6. F

    Kagame: Tanzania ni ndugu zetu na hakuna wa kuwatenga ndugu hawa!

    Wala Usijali Tanganyika ni Nooma! Si unakumbuka kwenye vita ya Kwanza ya Dunia tulizungukwa na maadui pande zote lakini tulipigana hadi mwisho wa vita. Tulijisalimisha tu baada ya Ujerumani kushindwa kule ulaya na kutuagiza tujisalimishe! Hao wahuni waache wajaribu waone kile tulichomfanya NDULI...
  7. F

    Mwakyembe amfukuza mfanyakazi aliyestaafu 2013

    Point kubwa Je hii habari ni kweli imetolewa na waziri au si ya kweli Othewise unapaswa kupunguza ushabiki katika mambo ambayo yako wazi na uwe anaytical mkuu! Acha kuendeshwa na emotions!!
  8. F

    Msaada wa kisaikolojia

    Pole sana ndugu! Hii hali unaweza kufanikiwa kuitatua endapo utapata ushauri wa Kisaikolojia na tiba kwa muda mrefu (psychotherapy) ambayo itasaidia kubadili mtazamo wako. Wataalam wa mambo ya akili wanapatikana hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kitengo cha magonjwa ya akili. Waone hao...
  9. F

    Njombe: Silinde afanya kufuru, CCM wakimbilia Polisi kuomba msaada

    CHADEMA wameshinda hapa Njombe Mjini!
  10. F

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    Njombe iko Arusha? Acha ushabiki usio na maana!
  11. F

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    Njombe Mjini CHADEMA wametangazwa washindi
  12. F

    Nimeibiwa namba za shahada yangu ya kura na chadema

    Kichwa cha habari na ulichoandika tofauti!!! Zile buku za Lumumba zinachanganya sana kichwa!
  13. F

    CHADEMA hawana Ikulu wanarusha chopa tatu angani kujenga chama, wakichukua nchi itakuwaje?

    Unaikumbuka OPERESHENI SANGARA? Mlisema hayahaya matokeo yake mliyaona!!! Sasa zile zilikuwa mvua za VULI masika ndo inakuja 2015!!! :dance:
  14. F

    Mdomo wa LEMA ni hatari kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla

    Mkuu sidhani kama umejibu swali uliloulizwa!!!! Uko upande wetu au wao?!!!!!
  15. F

    LHRC yaishtaki serikali ya Tanzania ICC

    Kwani Sudan ya Al Bashir ni mwanachama? Hii ishakula kwako NCHIMBI na MWEMA!!!!!
  16. F

    Tamko la Jumuiya ya Madaktari Tanzania

    Wewe kukaa miezi miwili ndo imekuwa nongwa? Kuhusu Registrars Mbeya wapo Registrars waliosimamishwa, Residents wapo waliolimwa barua za Onyo na wakuu wa idara hapo MUHAS ila wasingeweza kuwafukuza kwa sababu wao ni wanafunzi wa MUHAS si MNH. Specialists walishiriki mgomo huo kikamilifu na si...
  17. F

    Nape awajibu CHADEMA, asema siku saba ni nyingi mno!

    Umemaliza point zote! Teh teh teh!!!!!!!
  18. F

    Daktari Pekee wa upasuaji wa watoto wachanga Muhimbili aondoka

    Hao uliowataja ni paediatricians wakati mwandishi anamzungumzia Paediatric Surgeon! Umeona tofauti?
  19. F

    Ukweli kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

    Guys mimi naishi kando ya Ziwa Nyasa na kwenye Ziwa Nyasa Tanzania ina meli zake kubwa Mbili (MV Songea na MV Iringa) na hizi meli zinasafiri toka Itungi Kyela hadi Mbambabay Ruvuma kwa zaidi ya masaa 18 majini! na hizi meli zinapita kilindini kabisa kiasi cha kwamba abiria ndani ya meli...
  20. F

    Rais 2015 ni Prof.Lipumba toka CUF

    Sikujua kumbe mkuu una kipaji cha utabiri kama Marehemu Yahaya!!!! Duh. Kumbe Lipumba bado ana ndoto za urais!!! Kaaazi kwelikweli!!!!!!!
Back
Top Bottom