'Kikwete ametuahidi-"Napenda kuwahakikishia kuwa serikali itafanya kila liwezekanalo kuhakikisha kuwa hakuna mtanzania hata mmoja atakae kufa kwa njaa....", na ameyataja maeneo/halmashauri 36 nchini ambazo tayari zina upungufu wa chakula na kwamba tayari serikali imeshapeleka tani kadha za...
Hii hoja naikubali.........na wala si umeme tu, awamu zote mbili, punde tu anapomaliza/anapokuwa katika mchakato wa kupanga safu yake,bei za vitu hupanda almost 2times..eti mpaka soda--kinywaji rahisi ambacho tulitaraji kingeshuka!! Na sasa mgao wa umeme tena...hila ili watafute Richmond...
Ni mara yangu ya kwanza kufaulu kujiunga na JF japo nimekuwa nikifiatilia mijadala ya wadau. Hope nitaennjoy this pool of critical and funny thoughts/ideas.
Big up jf!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.