Matakwa ya Katiba Yanakitaka Chama kilichoshika Nafasi ya Pili baada ya Uchaguzi ndani ya Siku 7 iwasilishe Jina La Atakae Kuwa Makamo wa kwanza wa Rais Lakini kwa bahati mbaya Chama cha ACT wazalendo kimevuka hizo siku kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar hivyo kwa kuwa jambo hapa ni Maslah Mapana...
Acha Siasa Ya Maji taka Hivi hebu kaa ufanye Tafiti yako kwa Utulivu kuna Mzanzibar asiyekuwa na kizazi kisichogusa bara?
Bila Shaka Hakuna asiyehusu bara utofauti wa zama tu za Kuingia Zanzibar wengine wanavizazi 4 wengine vi 3 wengine ndio kwanza cha kwanza hiyo ndio tofauti ktk kisiwa...
Ni vyema Ungeanza na kwenda Kumpokea Makamo wa Rais kwa kuwa nayo ni sehemu ya Itifaki Usililie kipaza sauti tu. UKIWA NA DHARAU NA WEWE UTADHARAULIWA TU.. JIFUNZE KUHESHIMU ILI UHESHIMIWE NDG LEMA
Hii ningependa kuwaasa wanadamu wote Duniani watakao penda kusoma maelezo haya hivi kwa kuwa Heshima ni Kitu cha Bure ya paswa kuwaheshimu Binadamu wezako ikiwa Mkubwa au Mdogo ili na wewe hiyo heshima yako kwao ikurudie
Lakini kwa sasa Cha kusikitisha kuwa Lema anashindwa kuwa na Adabu kwa...
Acha Ujinga huo CCM wapi na wapi na Rushwa hai watumishi wapo wa vyama vyote isiwe kila kitu unatupia ccm rushwa ni tabia ya Mtu na kama ingekuwa kosa la mtu mmoja linakuwa ndo la taasisi nzima basi juwa kuwa Chadema ni wauza Unga na Kukwepa kulipa kodi
Inasikitisha sana na kwa nini makosa haya yanatokea zanzibar tu hii ni kuonesha wazi kuwa Rushwa kwa police wabarabarani wamekubuhu na kama kuna siku IGP Mangu angekuja Kituo cha Police Trafic Makao Makuu pale malindi watu wanatowa pesa utafikiri pana duka pale reception au kale kachumba kadogo...
Hahahah hilo si la Dr shein chukuwa Muda umtafute Mh waride Bakari Jabu atakusaidia na kwa nini labda hawajachukuwa wengi tatizi kulikuwa kuna mkanganyiko wa kutokuifahamu sheria iliyopitishws mpya ya Chama cha Mapinduzi ambayo kwa sasa inamtaka kila mtu mmoja kuwa na nafasi moja tu ya uwongozi...
Hhope sizani kama itakuwa na msada kwako cha msingi wakaazi wote ni 1.3 Milioni wastani wa watumishi wa umaa ni 20% imepiga hatua kuliko serekali ya Tanzania ambao wan 10%
Ndugu kukaa sawa hakuna kitu kinachozaliwa kikawa sawa chote kasoro za kiutendaji hazikosi mwambie mwenye kesi kama hiyo aende kwa afisa wake wa utumishi wa idara
Acha nikusaidie wandugu acha chuki hata katika Ukweli Ukweli Dk Sheni anastahili pongezi katika hili kwa kuwa alichikifanya ni mwendelezo wa Uzalendo wake kwa wananchi wa zanzibar na wafanyakazi kwa Ujumla Mh Rais amepandisha mshahara kwa kima cha chini wote kutoka 150,000 hadi 300,000 ambao...
Yawezekana ni sahihi sababu yeye alimtaka wakae wapate suluhu lakini cha kustaajabisha yeye seif muislam anajuwa sheria ya kislam kwa nini akatae kukaa na kupata suluhu... yaonyesha wazi kuwa seif Anakiburi na kiburi ni sifa ya Mungu na si mwanadamu...
Kwa sasa Msajili sisi wasamari wema tunakuomba uchukuwe hatua ya kuzuwia hata Mikutano ya ndani kwa chama Hichi hadi pale watapotaka kuelewana au kukifuta kabisa kwani madhara yanayofanyika ni makubwa
Seif ni Mshezi si Mtu yule anapenda madara kuliko kitu chochote hapa duniani
Bashe kama kipo icho kikosi kipo basi kiendelee.tu kukuwepo kwani kuna watu kama nyinyi msokuwa na hekma na busara za utendaji au uwongozi utumiwaji na wauza ngada kwa kutaka watanzania waathirike kiwashughulikie tu.
Na kama Kweli CCM ni wanafiki lkn wewe bashe unajua km na wewe ni sehemu ya CCM ?
Sababu wananchi tumeshakielew hichi chama ni cha wapiga deal hawana maono ya kuwaletea maendeleo watanzania hivi ona
Muone Lowasa mpiga dili Na wanifuatia halli ni hiyo hiyo utazani kuna mtu atatokea anakipenda Chama hicho Sasa ndo wamechemsha kabisa walipo mpa hela Wema Sepetu aje Chadema...
Nape Tulia Ndugu ...... Fanya kazi wana Mtama waliyokutuma la kama unakuja Mtama unatwambia umeshindwa kutatua kero za wanamtama au ulichokifanya mpaka sasa katka jimbo la mtama au changamoto zinazokukabili juu ya kututumikia wanamtama hapo itakuwa vyema kumbuka kuwa sisi hatujakutuma kuwa wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.