Nimefurahi sana kwa pascal to speak his mind!!haya ndo mawazo yako.siku zingine huwa unajitoa akili.kwa maneno yako yote nakuunga mkono.hasa kwa mtu kuongea kwa ukali kuficha udaifu wako.
Siku zote Nina jiuliza !!what kind of pascal do I read about!!!! Pascal ninaye mjua hawezi kukitaka akili siku zote kiasi hiki!!! Leo umenena and you have spoken your real self image.nimefurahi for your today eloquency.
My dear pascal with due respect tell me the following!!!
Uchumi ulio imarika kwa awamu hii ya tano.
Nionesha kiwango cha maji safi na salaama hata kwa jiji la dar!!ukiacha nchi nzima.
Kiwango cha kuimarika kwa wanyonge kutokana na sera za magu!zaidi ya kushinda kuu za nyanya na michicha Yao...
Jerry siulisema kuwa wewe si mzaremo!!yaana unafanya kazi?hii ndo kazi unayo fanya?
Wewe si ulifukuzwa kila ulipo enda.?
Tbc ulifukuzwa !
Yanga ukafukuzwa!
Itv ukafukuzwa !
Tulia ufanye kazi acha kujipendekeza .
Leo pascal kaongea kweli na dhati ya moyo wake na Kama taaluma inavyotaka aseme.
Hongera sana kwa u turn uliyofanya .kumbe watu wana akili na wakati fulani wanajitoa.....Asante kwa kubadilika.unahitaji akili ya kwenda wazimu ku mu support the big man
Mate pascal nakufahamu kwa hoja na ufahamu,!hayo ulio andika sio akili yako!akili zako umeziacha kwa loning'o........huyu mtu hateteiki na wala sio msukuma......sifa ya msukuma ni upole.ukarimu.ucheshi.mshirikishi.msaidizi.hiyo ndo tabia ya msukuma.
Jerry acha kujipendekeza maana hupokeleki kwa kuwa huna utu.hekima.na busara.umefukuzwa yanga.umefukuzwa tbc.umetaka rushwa na pingu!!una nuka na umeloa oil chafu huna pa kukaa maana roho ya uasi inakutangulia kila uendapo.....watanzania wanalia wewe unacheka???kisa unajipendekeza??unakumbuka...
Tundu Ana faa sana.ila asubiri kwanza.tatizo la kupita nafsi ya juu mapema itakuja mpa shida mbeleni ambako anahitajika zaidi.mf.ni Kabila na hata mzee sumaye.he can do simply as NASA did to raila.raila is the oldest candidate among the nasa.!!so he was given a last chance on the bases to age...
hivi jamani katika mtizamo wa kawaida kweli mtu anaweza kuwa gaidi wa yeye mwenywewe? chadema wanaweza fanya ugaidi kwa watu wake!watu walio kuja kwa ajili yako kwa kuku sapoti ugeuke wewe kuwaua?ufanye hivyo kwa sababu gani!? kwa faida ya nani?
je watu waliofika kwa ajili ya arusi yako,waweza...
umefanya vizuri kuja na master plan y a singapore,lakini tofauti ya mipango ya kwetu na wenzetu,wao wanasimamia na kutekeleza mipango yao.sisi siasa tu.yapo mambo mengi ambayo hatukuyafanyia kazi mf mambo ya south south commission,maisha bora,yote haya kutekelezwa.hongera mama umejaribu lkn...
hakuna anaye mwogopa el bali hofu za watu wake ndizo hofu za maisha yao.je mwofu na mwema waweza kuwekwa ktk chungu kimoja?el anaweza kupambana na ubongo wa lissu?au mnyika? acheni umbea.
coverage hutolewa kutokana na point na sivinginevyo! kama hauna point waonyeshe hewa?ilikuwa ni aibu kwa ccm maana kulikuwa na watoto na hakukuwepo na watu wa kuonyesha.kumbuka kila tukio lina implication yake ktk mapokeo.tbc waliona ni bora kutoonyesha lolote kwa ccm kwani ilikuwa ni aibu ya...
hivi hamjui kuwa mtawajua kwa matendo wale wote walio kinyume na kazi ya taaluma zao? masako mwenyewe anaganga nja kwa mengi, mengi naye anajikomba kwa watawala ili wasije muumbua ktk ufisadi wake.yeye anadhani kuwa anasidia ccm kwa kuto soma vichwa kumbe anachochea hisia za udadisi wa habari...
hii ni janja ya ccm ya kutaka kuhalalisha matakwa ya uislm wao.dalili za kutaka uislmu kwa namna yoyote kwa visingizio vya uzanzibar na swala la wanawake ni mtindio wa nyani kundule au mbuni kuficha kichwa mchangani wakati kiwiliwili kiko angani.namkitekeleza haya, ni sawa na kuleta ushindi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.