Kweli kabisaaa mtadanganyana
Kabla ya kumpenda mtu tafuta kujua ana malengo gani katika maisha yake, ana mipango gani kuyafanisha malengo, commitment yake ikoje?
Kama mtu hajielewi hata anakotaka kwenda yeye binafsi hakuna sehemu anaweza kukupeleka Wala kukusaidia
Makonda ni mwanasiasa mzuri
Kabla hujamponda na kumsemea tafuta kujua maana ya siasa na wanasaiasa. Tafuta kujua historia za siasa na vile wanasiasa walifanyaga siasa yaani Mbwinu
Kama unataka kuelewa utaelewa😆
Hata Kama hutaki ndio Kazi inaendelea
Kumbukumbu la Torati 34:5-6
"Basi Musa, mtumishi wa Bwana, akafa huko, katika nchi ya Moabu, kwa neno la Bwana.
Akamzika bondeni, katika nchi ya Moabu, kukabili Beth-peori; lakini hapana mtu ajuaye kaburi lake hata leo."
Yuda 1:9
"Lakini Mikaeli, malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.