Pole kwa jazba
Kwanza jiulize ilikuaje mama yako kikongwe akabaki akilima kijijini au ndio shule ilimkataa zamani nae akaikataa??
Maana hata Rais hakuzaliwa Ikulu, alitokea hukoooo kijiji cha Kizimkazi
Kama wewe unavyojitetea kwamba hujaisaliti familia yako huku wanafamilia wanalalama
Rais nae ukimuuliza atakujibu kwamba hajakusaliti
Utatukanwa tuuuuu kama unabisha weka mawasiliano yao hapa uone familia yako wanavyolalama
Kwa post yako hii hakikisha kila unaposhindwa kufanya kile wanachotaka mke wako au mume wako au watoto wako na familia yako kwa ujumla unawahimiza wakutukane
itapendeza sana ikianzia kwako
Kujiita Muslim au Christian hakumfanyi mtu kuwa mwema na mwaminifu kwa watu na kwa Mungu
Wengi wanaabudu dini na madhehebu ila hawafuati sheria ya Mungu wala kumuabudu Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.