Search results

  1. N

    DOWANS (BEHIND THE SHADOWS): What you were not supposed to know...!

    Cite ya breala haisemi nani shareholder.
  2. N

    DOWANS (BEHIND THE SHADOWS): What you were not supposed to know...!

    COMPANY REGISTRATION Introduction To register a company in the United Republic of Tanzania is a right of those who wish to associate and form themselves into a company pursuant to the existing company laws. Companies Act, 2002 There are four main types of companies as follows: - Private...
  3. N

    DOWANS (BEHIND THE SHADOWS): What you were not supposed to know...!

    jamaaa kafanya vizuri kashusha some facts, tepambanue hapa tujue, sio kuwa na ushabiki tuu, mimi binafsi nionavyo baada ya kupitia documents zote, najiuliza, DOWANS TANZANIA LIMITED, AMBAYO IMEUNDWA KWA SHERIA ZA NCHI YA TANZANIA, IWEJE ISIWE NA SHAREHOLDER KUTOKA TANZANIA? HAIWEZEKANI KAMPUNI...
  4. N

    Sisi ni developing country sio developed - so uwe mwelewa ukichangia mada.

    mimi ni msomaji sana wa issue za jamii forum, ila sipendi kucomment, ila nimefika sehemu nimekubali kuwa watanzania wapo katika tabaka tatu kwa sasa, kuna wadadisi( hawa wanajua kuchambua mambo na kuyaelewa - ( wanaulizwa -why, how, when, what) ili kupata evidence, yaani kisayansi kama...
  5. N

    "Engineer" huyu kiboko...,

    haya bwana, ndo tz, developing country.
  6. N

    Zamu ya Zanzibar Urais 2015?

    Imefika wakati tuache ya karne ya 20, jamani tuanze kumpata rais kwa uwezo wa kuongoza nchi katika karne hii ya 21. Hivi watanzania tukoje jamani,? Competence and delivery capability, mwaka 2015, hatutakuwa na mtu kuwekwa na chama tu, alafu anauza sura, alafu eti rais, huu nu upuuzi mtupu, by...
  7. N

    Siri ya utajiri tanzania katika karne hii mpya ni hii hapa.

    asilimia 80 ya watanzania wapo vijijini kwa kuwa hata asilimia kubwa ya sehemu ya nchi bado ni vijiji, tuna uwakika wa kulima na kuuza mazao ndani na nje ya nchi, kilimo kwanza ndiyo sera sahihi ya kutupatia ajira na kumkomboa masikini,( kwa mujibu wa uchunguzi wa kisayansi, hatuna njia...
  8. N

    Kwa kauli hii, Je Kikwete ni Dikteta??

    Sina uwakika na kauli hii kama kweli alitoa,( sikuwepo, sina data kamili) ila kama alitoa, inaiweka ccm mahali pabaya mwaka 2015. Alafu ni kauli iliyomtoka( nifikiriavyo), hakuitoa nadhani, na pili hana cha kutafuta kipindi kijacho( he has nothing to lose). Naamini, yeye mwenyewe raisi hakuamini...
  9. N

    Foreign Media: Opposition Snub Kikwete in a Walkout in Parliament

    Tena huwa wanapata kabla hata mtu anaeishi maeneo mengi vijijini tanzania hajapata, na hata kuna wengi dodoma pale hawajaipata hii, so, usishangae.
  10. N

    Elections 2010 CCM yatoa tamko kuhusu kitendo cha wabunge wa CHADEMA

    Nchi inaongozwa kwa sheria na sio kwa maamuzi binafsi, watanzania wengi hawana kawaida ya kufanya maamuzi ndani ya sheria na ya kisomi kwa kuwa vitu hivi vililetwa na wazungu kwetu, havikuibikia africa. Siamini kwamba tindu lissu, mabere na huyo dr ndiyo wasomi wakuu wa sheria, tupo kwenye...
  11. N

    Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

    Sio udini tu, hata ukabila. Na kibaya ni kwamba, udini na ukabili unapoanza, ni vigumu mhusika kujua kwamba anatenda.
  12. N

    kupata waziri mkuu

    Hizi waziri mkuu anapatikana kwa vigezo vipi?
Back
Top Bottom