Haikuwa mahala pake tena nasikia alifanya hivyo baada ya gavana na viongozi wote kuondoka. Michuzi blog kasema wakati dr.Shein anaongea Wazimbabwe wakapandisha sauti zao.nae angefikisha ujumbe wakati huo.
kwangu mimi Kitila Mkumbo (Asha Abdala) ni mnafiki tu.
Umeshamfungia huna haja ya kuandika hili tena kwani hawezi kujitetea,lakini bi senti 50 kasema mambo ya ngono umemuacha huo ndio uonezi wa JF?
kifimbo umemfungia miezi mingapi? kwa kosa lipi?
Unaweza kubadili jina lako? wenzako wengi wamebadili. kama fikira duni n.k
kinepi nepi kwangu mimi naona kama mtu ambaye muda mwingi unaharisha hivyo kupunguza uwezo wako wa kufikiri.
samahani ni ushauri tu.
Wapizani wa nini cha maana? Mbona walikaa kimya wakati Mkapa anachukua Kiwira, wamefanya lipi la Maana kuona pesa za Epa Zinapatikana?
Mwakyembe na kamati zingine za wana CCM ndio zinachapa kazi.wapinzani wako kwenye usingizi labda CUF. kama Chadema ni kijiwe cha wahuni tu.
Walifanya maonesho mengi tu usilete uongo.
Balali kaondoka ndani RO,Lowassa kapewa haki yake ndani RO.na anafanya kazi kwa karibu sana na SFO unataka nini zaidi?
ni sawa na kumpa ujiko mwakyembe wakati kazi za kamati yake zimetokana na JK na RO kuwa radhi.SFO wakija Tz bila kupata maelekezo...
Mkuu hii ya Always ndio imekupa ban? pole sana. Mwambie senti 50 kuna free style nayo bomba.
namimi chichemi sana kwani nitafungiwa wenzetu kina Mwanakjj wako home ground sisi tuko away.
Kwani TID, Lady jaydee, Nature, Khadija Kopa, Kingwendu na wengine wanaletwa na RO? hii si hoja, kama alikuwa anawaleta mbona wanapatika na sasa? last week alikuwepo TID na Wamasai wamekuja.
hujui kama usalama wana wakurugenzi wa mambo ya ndani na nje? nadhani ungemuuliza APSON aliyekuwa...
Achana nao hawa wapuuzi.Mwanakijiji ni mjinga fulani ambaye hana kibali cha kuishi marekani kutokana na ugumu wa maisha na frustration alizonao amekuwa akiwachukia watu wa serikali au waliomzidi kielimu, machungu yake ya maisha anatuletea sisi badala ya kuwapelekea wa Marekani walionyima stay.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.