Cjui hata mtu kama yule amekubaliwaje kuwa mmoja wa wawakilishi binafsi wakati huko kichwani hana kitu. Ana chama cha wafanyakazi kinaitwa TAROTU......Lakini anawakilisha wafanyakazi wasiokuwa wa mabarabara....hiyo mamlaka anaitoa wapi? Ama wawakilishi toka trade unions siku hizi wanaweza...
Na hii taasisi sasa imeshakuwa, wawaondoe HAWA vilaza wanaoitwa Personal Representatives, sijui hata hilo neno walilitoa wapi. Ni Vilaza kabisa......ni wapuuzi watupu.....huyo Peter MNYANI ndiye bogus kabisa
Wale vijana pale ni wa kupongezwa sana. Mazingira yao ni magumu sana. Lakini wanajituma. Changamoto zao ni nyingi lakini wanajitahidi Ku deliver.
Masuala ya rushwa pale sijawahi kusikia, na kama yapo ni kiasi kidogo sana.
Serikali ikiitupia macho hii taasisi mambo yatakuwa murua sana na wata...
Yupo Mkurugenzi Mkuu pale anaitwa somebody NUNGU!!
Ajitahidi hata kuwafungia wale vijana AC, wanafanya kazi kwenye mazingira magumu sana.
Chumba kimoja kina waamuzi wawili hadi wanne. Sasa hiyo Mahakama sijui ni ya wapi. Nijuavyo Mimi, Chamber moja ya Mahakama inakuwa na Hakimu mmoja na...
Waliozisoma kwanza wote makafir, pili ni wale mazwazwa wa siku zote. Walishawahi kumsomea kiongozi mmoja wa juu lkn amepiga mzigo mpk kamaliza muda wake na bado anadunda. Kwani wao wasafi mpk Mungu awakubalie dua yao hiyo ya km shaitwan? Hebu waache huu upuuzi bhana!!
CHADEMA ni Genge la Mafia hilo..Wanajua wanachokifanya hao.....wanaitafuta huruma ya wananchi kupitia damu za watu.....washenzi tu hao!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.