Katika uzinduzi wa Kampeini leo Kwa chama cha ACT wazalendo mgombea urais amesema kuna wanafunzi wanamaliza chuo kikuu hata hawawezi au hawajui kujieleza je Prof Kitila unaweza kudhibitisha au kukanusha tuhuma hizo kuhusu wanafunzi wako ?
Mtangazaji wa Star Tv aliyesoma vichwa vya habari kwa magazeti ya leo saa 12:30 amechemka yaani anasoma kama mtoto wa darasa la pili na anarudiarudia yaleyale muda wote tafadhali siku nyingine asirudie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.