Nafikiri wengi tumeshuhudia katika awamu hii ya nne ya uongozi wa nchi yetu mambo mengi ambayo watanzania hawakuyazoea yameanza kujitokeza na mojawapo likiwa ni la siasa za udini na hivi sasa unaingia ukabila. Kauli kama hizi zimekuwa zikianzishwa na viongozi waandamizi wa ccm dhidi ya vyama...
Mimi ni msomaji mzuri wa post mbalimbali ambazo wana JF wamekuwa wakizichangia na huwa navutiwa sana na michango ya members. Tafadhali naomba mnipokee ili nami niweze kuchangia kwa manufaa ya maendeleo ya nchi yetu. Ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.