2010 walidai wakaazi wa Arusha mjini ni wakorofi na wamechagua kiongozi kichaa,
Asante sana ni baada ya miaka mitano tumejua ukweli. Kwamba walikataa kuchagua kichaa ndo maana ikawa vile kama ilivyo kwa wakazi wa Dar es Salaam Leo hii.
Poleni sana wakaazi wa bandari Salama.
“Mpaka sasa jiji la Tanga hakuna uongozi uliosimama, sasa hatuwezi kwenda kwa mwendo huu, wananchi wanahitaji maendeleo na kurudia uchaguzi hatuwezi ni gharama kubwa, kilichobaki ni kuivunja halmashauri mpaka hapo muda wa kufanya uchaguzi kwa mujibu wa katiba ya nchi utakapotimia, hivyo kwa...
Nitaanza kwa kifupi kueleza makosa ya kijinga waliyofanya CHADEMA kabla ya kuelezea yale ya msingi;
1. TAMAA – Viongozi wakuu wa CHADEMA walipata UROHO wa ghafla wa kutaka kuingia ikulu kwa namna yeyote, wakasahau misingi, wakaivunja UAMINIFU (LOYALTY) kwa wananchi walioujenga kwa miaka mingi...
Huu nao ni upuuzi usiovumilika kamwe,
Magu nae atajitoa katika hili????
Vyanzo vya fujo vinaanza onekana na wao wanakaalia kimya tu.
Mazafaaaaaaaaaaaaaaaantaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...........!
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Waziri – Juma Omari
Naibu Waziri Mwita Waitara
Wizara ya Mambo ya Ndani
Waziri – Godbless Lema
Naibu Waziri Masoud Abdalla
Hapo wamenifurahisha sana!
Duh?????????
Ama kweli kazi ipo... Ati wanapendelewa????
Moja, Kama ni kweli wanapendelewa, na nadhani si kisiasa tu kama mnavyotaka kutuaminisha wengi wenu humu ndani. La hasha tuanze kujiuliza maswali kwanza,
1. Mlima mrefu kupita wote afrika, wenye kutoa theluji uko wapi???
2. Na ni kwa...
Mmmmmhhhhhh?????
Dr. Slaa naye atarudi na kumalizana tofauti zao tu nae kwa mwenendo huu.
Si mbaya tuyajenge sasa ni hatua nzuri na naamin hata huko tuendako CCm na Ukawa nao watakuja elewana ba kuacha ushabiki maandazi na kuanza kuibana Serikali yao.
Duh???
Hawa majamaa wamezoea Goli la mkono.
Lilianza Arusha 2010 likapelekea kukatisha maisha ya maraia kazaaa. wakafika mbali na kusema kuwa Wakazi wa Arusha ni wavuta Bangee na wanaongozwa na Kichaa Lema.
Miaka mitano imepita sasa ikaja ya DSM Ubunge wakajitaidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...
Mchango wa Tindu Lissu, Godbless Lema na Marehemu Alphonce Mawazo si wakubeza hata kidogo, maana kuamsha akili zetu na kuzitambua haki zetu ni zaidi ya hizo azifanyazo Joshua Nassari.
Nipo Morogoro maisha yamekuwa magumu pitiliza, yaani huku hadi Taasisi za Serikali zinaibia maraia. Kwa kujiridhisha tu Njoo uone watu wanavyopigwa usanii juu ya umiliki wa Ardhi. Mikutano mingi sana ya Kiserikali na taasisi zake zilikuwa zinafanyika hapa Morogoro zilipelekea kuuchangamsha miji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.