Tutaendelea tu ndugu,hicho sio kikwazo pekee cha maendeleo. Fanya kazi na endela kupambana ktk sehemu yako. Na kama unaona sio fair competition unaweza kujitoa ili kupunguza strss. ASANTENI
.
Huyu Mh Lisu mi namkubali sana katika bunge hili mpaka nashindwa kuona pengo slaa, is a serious man
. Nadhani amedhutu,ameweza na atasongo mbele ktk bunge hili.
Pole sana kaka kwa uvumilivu ulionesha mpaka sasa. Kama walivyosema wachangiaji wa mwanzo keep on applying dont give up. Usiachie hapo tu funga na kuomba kwa imani yako kwa wiki moja ukilenga sehemu unayoitaka. Am sure God will help. Binafsi nilifanya hivyo nilifanikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.