Mimi naona kuwe na serikali moja ya tz na kuwe na majimbo yenye sheria zake turuhusu ku accommodate nchi zingine kama majimbo yaongozwe na magavana,sheria wajitungie wenyewe nsiyo tutawaweza wazanzibar,chukua Burundi Rwanda uganda n.k
Magari yaliopata ajali una muuzia mtu kama scrp za kufungua spare a naomba na file,na anafanya transfer kwenye jina lake keso unaonana na gari kama ile mpya utamkamata inakuhusu nini nakwambia nimeyengeneza
Legacy inawapa msongo wa mawazo,yule ni rais kichaa haojawahi kutokea,alikuwaanafanya restructuring bila kufuata principle za uchumi,Kaumiza watu wengi sana
Jamani kutoka ni kazi,nawaheshimu sana wale walio toka yaani kuuaga umasikini ila salute ka walio toka bila kuwa watumishi serikalini.
Hata ukiongea nao wana akili za ziada
Sasa huyu babu alionekana ametoka alipokuwa karibu na washika nchi ma ziara ya Canada Sweeden leo anakuja na njaa...
Sisi kazi kazi hiyo kwanza makundi ya uchaguzi ndani ya ccm yakae nae mbali ili afikikirie katiba mpya tu, uchaguzi wa kung'oana meno na kuminyana korodani hatutaki mama sasa ni 9yrs bila uchaguzi wa kitapeli
Huyu ni mama hata mamayangu yupo hivyo watch your approach toward her,hatutaki uchaguzi 2025 mpaka amalize mambo ya katiba mpya,uchaguzi mpaka katiba mpya mkiita ucgaguzi bila katiba hatupigi kura mpeleke na juisi za wasimazi hatuji,tumchague nani bila katiba?
Magufuli mwingine?
Sisi rutheran tunafikiria sadaka tulizo pata nita kusifu sana sana kama uta mshauri Mama samia alete sadaka yake rutheran,
ila hata msikitini sawa,Mbowe kaenda katika kigango chake kwao kijijini na wala sio tukio kubwa kikanisa shoo niaskofu wa dioceses hiyo kipi kibaya.
Rutheran wanajenga...
Mbowe anaongea ukweli pamoja na kwamba sio wachagga tu japo wengi ni wao issue ni kwamba aliwachukia wafanya biashara wakubw walio chuma awamu zilizopita akiamini wezi hivyo ukiongea wafanya biashara kundi kubwa ni wao.ukweli usemwe mwendazake amevunja rekodi.kwamambo ya kikatili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.