hivu huu umamamkwe unakuja vipi? Mana huyu mama historia yake tokea nipo shule yeye ni viti maalum tu, je sikuna hatari watu wakawa wamekula kuku na kifaranga chake?
Hili nalo neno!!!
Mnatuchanganya na source zenu, ninaangalia TBC 1 sasa hivi Dr. (PHD) Slaa kamwandikia barua Shitambala kuwa uchunguzi umefanyika na CDM imejiridhisha kuwa Tuhuma hizo si za kweli hivyo Shitambala aendelee na Uongozi wa chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.