kipimo halisi cha uzoefu kazini ni kipi?

mutisya mutambu

JF-Expert Member
Nov 21, 2010
208
82
wana jf kazi kwenu sasa! hiki kimekuwa kilio cha wengi wanaotafuta kazi,utakuta mtu anasoma sifa zinazotakiwa vizuri na kwa raha sana,lakini akifika kwenye kipengele cha uzoefu kazini hasa wa miaka kadhaa unakuta mtu huyo anakunja sura na kuanza kulalamika,kuwalalamikia waajiri.hapa ndipo mie nakuja na swali, hivi kwa nini kila utajapwo uzoefu wa kazi unataja miaka fulani,hivi hicho ndio kipimo pekee cha uzoefu,mtu akikaa kazini miaka nane basi awe ameshakuwa mzoefu,tutajuaje labda katumia miaka miwili kufany a kazi na mingine sita kupiga porojo tu ofisini,safari za huku na huko pamoja na kunywa na kuongea na simu kazini.kwa nini tusibadiri uzoefu wa kazi ukawa ujuzi wa kazi bila kujari umri wa huyo mtu kukaa kazini kwani ni wengi tu waliokaa miaka mingi kazini na bado si wajuzi ukilinganisha na fresh kutoka vyuoni.
 
Uzoefu muhimu ngugu, inafikia kipindi kazini huitaji kutumia taaluma ya darasani tu bali the past experience ku-solve issues. Labda kama huko Serikalini Ila private kama kazi inachallenges nyingi, ni muhimu ndugu
 
Mtu fresh from skulli huwezi mlinganisha na mwenye miaka mitano kazini....nikiwa na maana mfano wanahitaji mtu mwenye bachelor degree ya kitu flan....na miaka flani kazini wana maana na wanajua huyu mtu kwa muda wa miaka mitano toka amalize shule hawezi kuwa anajua kitu kile kile kama alivyo toka shule...as kazini vingine non-skull related experiance kabisa...huvipati shuleni.Na unakuta wanaandika hata package.software.system flan wanayo tumia na wewe uwe nayo kama added advantage...sasa shule utavipata wapi?
 
Back
Top Bottom