Aibu ni pale mtu anapomkandia mtu kwa sababu ya uwezo wake mdogo wa kuelewa kile anachosema! Baadhi ya watu humu hawamwelewi Shivji, huwezi kusema Shivji hataki muungano. Wengine wamesoma maaandiko yake ila hawakuelewa, bahati mbaya kweli hii!
"Nations importing cheap cooked foodstuffs from China may also be concerned that they have been inadvertently poisoning their children by trading with a nation in which regulation and business ethics are all but unknown"
Tuwe makini sana na propaganda za nchi za magharibi dhidi ya China. Kama...
Moja kati ya shutuma juu ya kanisa katoliki kuhusika na mauaji ya kimbari kule Rwanda ni kukaa kimya na kutokuwa proactive wakati dalili za machafuko zilipokuwa dhahiri kabisa! Halikadhalika "role" iliyochezwa na kanisa hilo wakati wa ukoloni wa kupendelea wa-tutsi then wahutu. Sasa hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.