Maduka karibia yote yamefungwa na mamlaka ya mapato Tanzania mkoani Morogoro wakiwalazimisha wafanyabiashara kununua mashine (750,000) ndio ufunguliwe, na seal wanaweka.
Hii nchi tuendako sijui kama tutafika...
NB: Ugawaji umeishia wapi wa mashine? Mbona Tanesco wanafunga luku maana ndio...
Leo ni miaka zaidi ya 50 toka nchi yetu ipate uhuru nishati ya umeme na maji ni tatizo la kitaifa lakini kuna watu wachache bado wanashabikia mfumo s.s.m
Leo Watanzania wenye kuendesha maisha yao kwa kutegemea nishati ya umeme ni taabu na dhiki kubwa huku mtaani, ukiwaangalia wenye Mashine za...
Watanzania tuwe na fikra pevu juu ya maendeleo maana hatuwezi kutoka hapa tulipo bila kubadili vyama na mifumo iliyopo..maana hata nchi zilizosonga sana kimaendeleo hubadili vyama.Waswahili husema kuchamba kwingi......? Kubadili vyama na mfumo ni muhimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.