Najua kila binadamu ana akili ya kufikili na kupembua mambo muhimu katika maisha yake,nina maaana kuwa kila mtu anahitaji kuishi maisha mazuri sana na ndo maana kila siku tunafanya kazi ili tule.Lakini huwezi kula kama serikali yako haikujali kwa katika kukurahisishia maisha kwa kukupa au...
wewe ni wa chama gani? maana kulingana na maoni yako hata wewe una chama chako! Inabidi uelewe kuwa waandishi wa habari ni binadamu kama wewe hivo wana maoni tofauti na unavyofikilia! Ila hapo hapo umesahau kuwa kuna magaeti mengi tu ya CCM ambayo yanaandika positive issues tu kuhusu nchi yetu...
Mbona wanjeshi wamejaa sana kwenye serikali ya Kikwete? kuna sir gani hapo? watu wanastaafu wanarudi serikali huku sisi makabwela tuna elimu zetu kazi hakuna,wanatumia amri zaa kijeshi kutuongoza,nina hasira sana na huyu mzee.Nikikutana nae popote lazima tuzichape aisee nikanyee ndoo segerea!
Wewe humjui sitta ila unaijua ccm tu! mbona kumbe unajua kuna wengine wametulia baada ya kupewa vyeo,je huoni kwamba sitta ndo hayupo kwa vyeo maaana hata kama ni waziri lakini anakosoa serikali,au un ataka awe kama makamba?
Unajua kaka inabdi uelewe kuwa elimu wakati mwingine haimsadii mtu ina inamfanya kuwa na kiburi.Tena hasa walio nje ya nchi ndo akili zao hazisumbuki kabisa hata kuwaza jinsi ndugu zao wanavyohangaika ntymbani.Akili zao zote ni kusaka uraia wa nje kwa kuamini walipo ndo mwisho wa Dunia.Wasomi...
:heh:Ni kweli ni chuma cha pua lakini kuendelea kukalia boti lenye matobo kwenye bahari hata yeye atazama tu! Inavyoonekana anajua kila kitu kuhusu dowans,kwanini asituambie basi ili watanzania tuongeze chuki zaidi kwa CCM?:noidea:
WANANCHI wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamefanya maandamano hadi ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo kulaani kitendo cha askari polisi kumuua raia mmoja kwa kukutumia risasi.
Mbali na hilo wananchi hao pia waliandamana kupinga baadhi ya askari kuwabambikiza kesi wananchi.
Tukio la kuuawa kwa raia...
Watanzania wengi walikuwa na imani na Rais Kikwete alipoingia madarakani 2005,wazliamini yeye ndo atakuwa rais bora kuliko walitangulia baada ya nyerere.Lakini imekuwa tofauti na matarajio ya wengi ndo maana wakamtosa kumpa kura 2010 lakini akachakachua! Ila wengi wanaamini Kikwete ni rais mzuri...
Hilo nalo kaka! Unajua katika hali ya kawaida ni vigumu sana kwa mtu kugundua umuhimu wa Dr Slaa katika nchi yetu. Ni mtu muhimu na atakumbukwa sana na watanzania wenye kuipenda nchi yao! Tatizo letu tuna mawazo pandikizi ambayo huwa hatuyafanyii umbembuvi yakinifu. Suala la DR Slaa kusingiziwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.