Labda kama MUNGU hayupo but as long as GOD is alive their days are numbered mafisadi wote kama hawatatubu na kuacha huo uovu wao Mungu atawaondoa the bible says "Evil doers shall be cut off from the face of the earth".Kanisa sasa limeamka na tunamlilia Mungu usiku na mchana aiponye nchi yetu.
Biblia inasema kila neno mwanadamu anenalo atatoa hesabu yake siku ya kufa kwake.Yeye alitaka watu kanisa likae kimya tu kama waumini wao wameuawa na polisi?. Vilevile huwezi kutenganisha mambo ya kiroho na kimwili ndio maan watu wanapoapa huwa wanatumia vitabu vya dini.Mimi nafikiri huyu...
Unajua maana ya dhambi wewe u really have lost it.Mbona usizungumzie mamlaka iliyojiweka yenyewe kwa kuiba kura.!!!!.Hii ndiyo dhambi namba moja.Pili wewe ndio ulionguka kwasababu unatetea mauaji wewe ndio shetani narudia tena u the devil!!!!!!!!!.Ingekuwa mamlaka halali tungeheshimu lakini dont...
Hivi huyu jamaa ana akili kweli aliyoandika hii article.Siasa zipi za kishenzi kuandamana ni haki ya kikatiba ya kila raia.I dont see anything wrong with that.The only thing the police should do is ensuring that people and their property are safe.Regardless of their party membership.Honestly...
I wish baba yako au mama yako au mkeo au watoto wako wangekufa tuone kama ungesema hivyo.Vifo vya watu unasema utumbo? Wewe ni binadamu au shetani???. Wewe lazima utakuwa shetani. Hata shetani mwenyewe anakushangaa kwa hii kauli.You are the devil himself.Kumbuka what goes around comes around...
Yaani huna hata aibu mpendwa.Wewe si ulifukuzwa kwasababu ya kuomba wateja rushwa!!!!.Yaani watu wengine bwana huyu jamaa aliandika hii article ninamfahamu sana kwanza alikuwa na tabia ya kuomba wateja rushwa ili atoe mikopo this are kind of people muwaelewe watanzania tumekosa maadili...
I dont see anything wrong with that.Besides you never this might be temporary jobs and they might not be demanding a graduate education level.Hebu tuwe was kweli hata kama you're being paid 50,00 tsh per month come one i dont think there is anyone hata kama ni baba yako will be capable of giving...
I completely agree with you the guy doesnt seem to know what he is talking about.Wakae kimya ili nini?Kwani midomo wamepewa ya nini?.Huyu bwana must really be insane na pia a really idiot kwa kweli.He doesnt seem to know anything about politics.
Complete rubbish, Stupid and nonsense.Hivi huna kazi ya kufanya wewe mpumbavu unapoteza muda wako kuandika utumbo namna hii.Eti kapora mke wa mtu kwani unajua maana ya kupora wewe.Kupora ni kuchukuwa kitu pasipo ridhaa ya huyo mhusika.Kwani huyo aliporwa alilazimishwa kwenda kw slaa.Wewe ni...
lnawezekana wanausalama wamtishia you never know.Labda wamempiga bit na wemetoa serious threat.Kuna rumours kwamba usalama wa taifa wana monitor nyendo zake na every move he makes.Anyway if that's the case then hao the so called wanausalama hawaewezi wakamtisha Mungu because He God will send...
Kwa dhambi alizofanya lazima afe kabla ya 2015.Mshahara was dhambi ni mauti.Aende huko depth of hell aungue milele he doesnt deserve to live.Washindanao na Bwana watapondwa kabisa, evil doers shall be cut off from the face of the earth asema bwana wa majeshi.Badala atubu na kumpokea Bwana...
Kama siyo mapenzi ya watanzania wengi hatadumu.It's only a matter of time let's leave everything to GOD.Tumefunga,tumeomba tunamwachia Mungu.Kama Mungu hakutaki yeye ana uwezo mkubwa na njia nyingi sana ikiwemo kifo.
Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho atakachovuna. We have been fasting and praying for the election and crying to GOD to give us proper and right leaders.If they have rigged the election and if he wasnt God choice then he will not finish his reign in the next five years.Do you...
Saa ya ukombozi!!!!!!. Kwani kuna mtu alitegemea SLAA atashinda? Kwa tume ya Makame? Alichofanya slaa ni kuwafungua macho watanzania waliokuwa wamelala na kuuanika uovu wa serikali ya dakta . But he wasnt expecting to become the president .Hivi ni daktari wa mifugo au nini?
Mungu anajibu maombi na hata siku moja haki ya mtu haiwezi kupotea.Kama amelazimisha kuingia ikulu basi hataweza kutawala miaka mitano.Hawezi kushindana na Mungu hata siku moja.If God says no, then no one can Yes.Just wait and see
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.