ibara ya katiba 6 ya katiba ya sasa inasema hivi"there shall be three armed forces ,the tanzania people defence force,the tanzania police force and the prison service mpo hapo?
kwa nini wanajeshi ni wengi kuliko polisi ni kwamba wanajeshi wanaostafu kabla ya kufikisha miaka 60 ni wengi sana kuliko polisi take note kwamba kazi nyingi majeshini zinapangwa kwa umri hasa kada za kati.
naomba niwape tu ufafanuzi wa kitaalamu,polisi ana mafunzo yake,jwtz wanamafunzo yao,walichonacho in common ni zile basics za kupigana vita police wanajifunza siraha nyingi sana za kivita ikiwemo na mlipuko ila kwa sababu vita siyo kazi ya msing ya polisi huwezi kuta polisi anajua kurusha midege...
jamani tangujuzi matokeo hapa yalikuwa tayari bt baada ya kufika ksir george kahama mambo yamebadilika,watu jana walipigwa mabomu wakajeruhiwa lakini mda huu bado watu wamejaa niko hapa tangu jana nitawapa up dates kwa lolote
Maji ya shingo hayo wakubwa.hadi makongoro kijana ahamini kama anawezashidwa anadhan ataishi kwakuchakachua hadi lini?why hawasomi alama za nyakati?bt time tell
Wapendwa nimetoka bkoba mjini sasa nimeingia jimbo la karagwe,chadema hapa ni noma matokeo wamegoma kutangaza,rc,rpc,rso wote wamelala hapa but wanachi wanaimba eti hawadanganyiki.matokeo kamil saa tisa nitawapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.