TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wa wilaya wapya 13 na kuwahamisha vituo vya kazi wengine saba.
Wakuu wa wilaya 13 walioteuliwa ni;
Shaaban Athuman Ntanambe ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato, Mkoa wa...
Hatimae kamanda Shokia center aliyekuwa anapigasha kura za maoni hapa stand ndogo amekamatwa na polisi muda huu kwa kosa la kupigisha kura za maoni kinyume na sheria za nchi kapelekwa rumande na vijana wake wote.
Ndugu wana jamvi naomba leo niweke wazi juu ya haha yanayoendelea kuhusiana na movie na scenes za watu kuibuka na kutoa matamko juu ya Ukawa na Lowassa
Kuna kitu tume ya kampen na propagana ya ccm inapanga kwaajili ya kudhoofisha upinza na tume hiyo imepewa kazi moja kama sio mbili
Ni...
Katika hali isiyo ya kawaida mkutano wa Sumaye umezuiwa Babati Manyara na polisi kwa madai kuwa hana kibali cha kuhutubia. Kwa maelekezo inasemekana polisi wamesema ni amri toka juu.
Kazi ipo.
Wadau tumekuwa tukifanganywa majukwaan kuwa serikali ya CCM. Imejenga bara bara uwongo mtupu tumeweka nchi rehani kwa mikopo yenye masharti magumu na isiyo tekelezekaa kwa watu wa magaharibi wamejenga barabara kwa kutudhulumu yetu leo
Magufuli anadanganya watu barabara zimejengwa kwa fedha za...
Nimeanza kuingia wasiwasi urafiki wa hawa boys 2 men haujafa na nina hakika kikwete amehamua kumpa madaraka Lowassa nje ya Ccm.
Kwa.scenarios jinsi zilivyo na namna jk anavykiendesha chama
Nimeanza kusikia tetesi nasikia sasa hivi wazee na wakongwe wa chama hawamshilikishi tena.jk kwenye...
Mgombea ubunge jimbo la Nanyumbu Mtwara kupitia CUF ametokomea kusikojulikana na kushindwa kurejesha fomu, hivyo CCM wamepita bila kupingwa kwenye jimbo hilo.
Alichonishangaza Magufuli na nimeanza kuamini hata data alizokuwa anatupa ni za uwongo. Anasema kwa mara ya kwanza Tanzania na duniani itaweka historia ya kuwa na makamu wa rais wa kwanza mwanamke. "Ni uongo uliokithiri"
Correction
Mwaka 1994 mpaka 2003 Uganda walikuwa na makamu wa Rais Madam...
Wana jamvi leo nawaletea kwenu uchambuzi wangu juu ya maamuzi ya jk na kamati katika uteuzi wa wagombe urais Dodoma.
Kilichofanyika pale ni kuwa kikwete kushindwa kusoma alama za nyakati.kwa kuangalia watu wanaomzunguka walikuwa wamevaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni chui.
Wote tujiulizee
Ni...
Katika hali isiyo ya kawaida familiaa ya masabuli.
Yeye na watoto wake wanataka kujaa bungeni kinachofanyika nikuhamisha familiaa toka uraiani mpaka mjengoni.
Sijajua nini wanafikilia kwa kufanya haya.
Wadau naona the difference are far apart between these team.
Mawaziri wakati wanatangaza nia wamezungumza tofauti na Rais wao anaongea tofautii.
Mimi nakumbuka ya Mwigulu Nchemba aliposema kiwa Rushwa ni tatizo na anapango wa kuikomesha wakati mkuu wa Kaya anasema amefanikiwa kwani case...
Leo Kamati ya Maadili inakaa.
1. Kikwete
2. Mwinyi
3. Mkapa
4. Kinana
5. Mangula
6. Nape
7. Katibu wa Vijana Taifa
8. Mwenyekiti wa Vijana Taifa
9. Mwenyekiti wa Wazazi Taifa
10. Katibu wa Wazazi Taifa
11. Dr Shein
12. Mwenyekiti wa Wanawake Taifa
13. Katibu wa Wazazi Taifa
14...
Wadau,
Duru za wadau kutoka ndani kuna tetesi zinasema Makamu wa Rais Mohamed Gharib Bilal amejitoa kwenye mbio za urais na kunasemekana Makamu wa Rais alijitoa kitambo pale aliporudisha fomu bila mdhamini hata mmoja.
Kama mnakumbuka alikuwa ni mmoja kati ya watu wa mwishoni kuchukua fomu na...
wadau inakuaje malecela anaingia kwenye kikao cha wazee wakati tayar kuna Conflict of interest kwan binti yake yupo kwenye mchuano
naomben mnisaidie kwa hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.