Sasa kumekuchaaa , wazee wa upigaji wamerudi apa januari pale nape kule ridhi sipati picha wale watoto wa mujini watakavyo upiga mwingi bongo tambarareee , tukutane 2025
Pole mtoa post inaonekana nawe ni wale wale ambao mirija ya ulaji imefungiwa sasa muna mu attack Erio. Mulizoea dezo dezo tu kufanya Shirika kama shamba la bibi munakula pesa za wanachama bila huruma shirika linatafunwa kila upande na wafanyakazi wasio waaminifu sasa Erio amekuja ameziba mirija...
Basi leo tunakumbuka kuzaliwa kwa King Ali Kiba naomba wote wenye mapenzi mema tumtakie neno la Heri Mfalme ukisindikiza na mstari wa wimbo unaoupenda mi naanza kama hivi...
Yule aliyepanda kwenye lile shamba langu hakuona uchungu kuizunguka nyumba yangu ukatanda ukungu kwa penzi la madhulumu...
Kahaba grade A wapo mkuu tunajua hadi bei nakuhakikishia wapo kuanzia usd 3000 up to usd 15000 wapo mkuu uliza utaambiwa na majina yao kabisa au hii topic ianzishiwe thread yake specific hao wa elfu 50 hadi laki 5 au mil 1 pia wapo ni wewe tu chaguo lako na pesa yako. Mfano Miss Tanzania 2001...
Mkuu experience na hawa kahaba wa grade A inakuaga hivi
kwanza wanataka Emirates return ticket business class then wanachagua hotel kabisa 5 star hotel in Dubai halafu anakupa na price yake lets say for 3 days stay utanipa USD 15,000 that does not include tickets or hotel rates and then they...
Aisee Tanzania imepatwa na Raisi aisee sasa na yule mama alieoneshwa TBC na watoto wote wana ulemavu wa Zika kabisa tena ilioneshwa kwenye taarifa ya Habari halafu wanadhani watanzania wote ni wajinga, Shame
kinacholengwa hapo ni kumsaidia mjane wa Mzee Machache ili aweze kurithi mali zote za Mzee hata zile ambazo Mzee alichuma na Mama Mercy, jamaa anaanza Movie mapema, ila Mungu huwa hachezewi na Haki siku zote huchelewa tu na sio kupotea. inawezekana amehaidiwa asilimia fulani akilifanikisha hili.
zari alitaka amfunike Tanasha maana same day kaachia baby shower nae same day kaachia picha za kupendeza kiukweli Zari umri umeenda kwa Diamond amuachie Tanasha ndio umri wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.