Samahani wakuu, kuna kiwanda kipya cha viatilifu kipo kibaha.nilisikia kinahitaji watu zaidi ya 150 kwa ajili ya ajira.tulipeleka cv zetu muda mrefu tangu mwanzoni mwa mwaka huu,sasa sijui walishaita interview???na hiki kiwanda kimeshaanza kazi??
Ukiangalia majina ya usaili ya utumishi yaliyotoka tar 22 mwezi huu na tangazo la ajira la mwezi JUne utagundua kuna Kada zingine hazipo na watu wengi tumeshtushwa na kutoona kada fulani tulizoziomba.Jana nimepiga simu Utumishi kwa namba hii 0784398259.NIMEJIBIWA KUWA KUNA KADA AMBAZO BADO...
Samahanini wakuu kuna watu wanasema TBS hawatoi majina ya usaili mpaka uchaguzi mkuu upite...Hivi kuna ukweli kuhusu hili?? Na kama kuna ukweli naomba tusipige kura
Samahani waheshimiwa tcc tanzania cigarate co walitoa nafasi ya mechanical engineer mwezi april na deadline ilikuwa tar 30 april ,interview walishaita au bado mpaka sasa?​
samahani waheshimiwa tcc ( tanzania cigarrete co ltd) walitoa nafasi ya mechanical engineer na deadline ilikuwa tar 30 april 2015 , hivi walishaita interview au bado????
Samahanini sasa waheshimiwa niliapply Tanzania Cigarate Company position ya Mechanical Engineer, deadline ilikuwa tar 30 april.
Mpaka leo kimya, walishaita watu interview au bado?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.