Mkuu wanawake wana visasi vizito hasa kwenye suala la kuumizwa ki hisia
Nilishawai muumiza mdada hivy hivy yaani kilichotokea ni hatari nilijutaaaaa
Na aliniambia bado maisha yangu nitajutia labda niwe mbali sna nae au nife
Aisee ngoja na mimi leo nishushe kisa kimoja hapa [emoji1787]
Aisee kuna siku nipo mkoa fulani nimekaa hivi mgahawani mara paaap kakaja kabinti kapole nyuma kavaa bag kama kwamba yupo safarini
Basi eebwanaa sjui ilikua kuaje mara iblisu alinishika nikasema ngoja nimzingue huyu dada
Basi...
Nikikukuta na mke wangu nakufanya zaid ya hivyo vya bwana cherehani
Nitakupasua kwa wembe nitoe kokwa moja moja za pumbu
Halafu nakuja kumkata kata huyo mdudu vipande 7
Mkuu unawazaje Afrika?? Kama umebaki na vijisenti ni pm nitakuelekeza namna tutaingia U.S to Canada boda to boda
Utakuja kunishkuru....itatubidi tuondokee Nairobi au South Africa
Haha anamtongoza sio ndo amuandikie nambie my love wangu[emoji23][emoji23]
Kwa akili ya kawaida mtu kama hana chembe ya mamlaka kwa mtu hawezi andika hivyo
Ni mawili wife ameshakubali tayari au ameshaliwa kimasihara
Karma is a bitch ........wait for your turn bro , utaomba siku zije kurudi nyuma uwe na huyo mkeo nakuambia....
Very soon utajionea....asiefunzwa na ***** hufunzwa na wanawake wadangaji wa mjini wanaopambana ku maintain muonekano wao na shepu zao
Sijui ni nani alietuambukiza nidhamu ya uwoga wa tanzania
Kuna mda natafakari laiti wa tz wote wangekua wanamsimamo kama waliokuwa nao wapemba tu kwa cuf basi hii nchi tayari ccm wangekua washaiacha kitambo sna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.