Wadau wa jukwaa hili nina imani kubwa sana nitasaidiwa na wataalam wa mambo ya mifugo hapa.
Ni hivi nina ng'ombe wangu hapa ambaye alipandwa mwezi februali mwaka huu, tatizo ni kwamba tangu apate mimba amekuwa akisumbua kila uchwao, mfano huwa anagoma kunywa maji mara nyingine unywaji wake ni...
kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza ni wiki ya pili sasa pc yangu inaji restart na kuandika maneno hayo hapo juu. Kwa mwenye uelewa tatizo hili nitalimalizaje? na sababu yake ni nini?
Natanguliza shukrani!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.