Leo tunaishi katika zama ambazo watuwanaelea kama vipande vya miti katikamaji ya mafuriko bila kujua. La kusikitisha
zaidi, mto unaoweza kuzipa uhaiardhi unazozipitia unatiririka kwenyemfereji wa maji machafu kwa sababu
hayajaelekezwa kwenye uelekeo sahihi.
Mkuu nmekusoma ila ndo...
Neno la leo: Walibadili gia angani sasa wanashangaa ndege haitui. Lazima ianguke, tuombe wote wanusurike. Mabadiliko feki hayatopiganiwa. Wameshindwa kwa kura sasa wanataka kwa kulia? Wametumia njia moja ya mkato kuingia Ikulu sasa wanataka kutumia nyingine. Wajipange vizuri chini ya Lowassa ili...
Mtu akiambiwa mgonjwa hafai kushika madaraka haina maana atakufa Bali hoja ni kwamba akiwa kiongozi mwenye maradhi atashindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo!
Mtikila hakusema Lowassa atakufa, Bali alisema si busara kumpa dhamana ya watu m58 kiongozi mgonjwa!
Si haramu kumzuia MTU kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.