haya mambo utayakuta tanzania na africa lkn kwingineko akuna ujinga uhu .mtu kashindwa eti tume ivunje uchaguzi uliona wapi, then umeshadai uchaguzi ulikuwa huru na wa haki tena
kweli kabisa kwenye watu wanaoweza kufanya kazi uyu mzee anaweza kufanya kwa usahii na kwa ubora lkn shida ni mfumo wa chama chake, na kashasema atowaangusha na kufuata sera yao apo tu ndo namkataa lkn kwingineko yupo safi na ni mtu makini sana
maana nyie wasomi mumeshaona hii nchi ni yenu, hivyo mtapoteza uraji kwa kumpa mwenye uwezo wa kufatilia mambo
na nikwambie nchii hii wanaofanya hovyo ni wale mnaoitwa wasomi na ndo nashaanga usomi wenu uko wapi kila jambo ni zero akulinganisha na wanaoitwa wasio soma mkute mwenye phd zake...
usomi wako uko wapi au kupata A darasani mbona una uwezo wa kufikilia maisha ni zaidi ya usomi dreva boda boda anakuzidi akili niambie kuna mwizi wa sh ambaye siye msomi hivyo mnazani nchi hi mungu kawapa nyinyi eti msomi akisema awezi chagua mwizi ili , unajua mwizi mwenzio atakubania, au mtu...
ya mungu yahache uyawezi kwani mungu si ni mwingi wa rehema kwani mungu akiamua kumsamehe shetani si anaweza mbona uwa wanawasiliana na kujivunia watu wao wanaomwabudu, mbona alimbadilisha poul na kumtumia kwa viwango vya juu hivyo ata akihamua kumsamehe shetani imawezekana maana kwa mungu akuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.