Nimesoma Tosamaganga Sekondary, kuna Kanisa zuri sana katikati ya Shule na wala halijawahi kuwa tatizo. Nachojua ni kuwa ikiwa shule ilitaifishwa kutoka ktk taasisi ya kidini basi wasingetaifisha hadi imani za waliokuwepo kwa maana kubadili kanisa au msikiti kuwa darasa au ukumbi wa mikutan au...
Naunga mkono kuwa mada zilizomo kwenye Facebook sio constructive sana na mara nyingi mada nyepesinyepesi.
Hii ni kwa sababu wachangiaji wana ID zao sahihi.
Pia ni kweli watu wengi hasa vijana wanatumia muda wao mwingi kwenye facebook maranyingine hupungaza ufanisi wa kazi zao
Upande wa pili...
Jamani, mi nafikiri CUF sio chama cha Upinzani, na CHADEMA hawana sababu ya kuwashirikisha CUF kuunda kambi ya upinzani maana wataidhoofisha sana.
Sababu:
Ikiwa CUF na CCM wameunda serikali Zanzibar na Katibu wao (CUF) Mkuu ndiye makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, na wabunge wake 7 wameshika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.