Amina Asante. Nimepata wazo la kumtafuta mtaalam Kwanza nimpeleke akanishaur. Nikiona Mambo yatakuwa mengi Sana nitauza nikanunue kwingine kusiko na changamoto hiyo
Tena nakwambia ni bei mkas Sana. Sema Kiko mtaa niliokuwa nikiupenda. Kwa Sasa ukipaona pako vizur tambalale kabisa. Sema ndo ivyo sikujua mapema athar za kutifua vile
Habar zenu. Nimefanya leveling mwez January mwaka huu kwenye kiwanja kilichokuwa na mteremko. Kama haitoshi nimemwaga vifusi kadhaa vya udongo ili kusawazisha kiwanja kile kwan hata baada ya kulevo Bado mteremko uliendelea kuwepo .
Kwa wazoefu na wajuzi Ni muda gani mzuri naweza kuanza ujenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.