Wakuu,
Leo nimeingia loss ya shilingi laki mbili baada ya kushawishika kujiunga na vicoba focus kwa njia ya mtandao. Nilitembelea tovuti yao nikajaza fomu vzr tu nikaituma kisha nikatuma pesa kwa m pesa. wanasema unasubir 55 minutes. Nilisubiri wee bila mafanikio.
Nilipoamua kuwafuatilia kwa...
Wadau,
Siku hizi Rose Muhando haonekani katika matamasha kama ilivyokuwa zamani na inasadikika hali yake ni mbaya kiafya. Wapo wanaodai anaumwa kwa sababu ya madawa ya kulevya (unga) na wapo wanaosema ana mimba kubwa hivyo huenda yupo kwenye maandalizi ya kujifungua au yupo maternity leave...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.