Kauli mbiu ya kweli ya Dr Slaa kuhusu elimu ya bure ndiyo chanzo cha kuweweseka kwa bwana Magembhe-si hiyo tu vilevile tumeona mkanganyiko mwingine kuhusu bei ya cement. Wenzetu walikuwa wapi?. Mwenye macho haambiwi tazama! watanzania tuamke
Huu ni usaliti wa Tume ya mawasiliano-Hekaheka zote za kutaka tusajili simu kumbe ilikuwa ni kampeni chafu-tuwe wazalendo. Sasa kama mambo ni hivyo iwe ruksa kwa kila chama kupeleka sms za ushabiki wa vyama kupitia Tume ya Mawasiliano!
Chama ni kama SETI-Baadhi ya members ndani ya seti ndo wamekwama.Kwa sasa tuangalie nini mahitaji ya Taifa letu halafu tuchague mtu atakeyekuwa tayari kuyashughulikia.Tumeshaona nyufa kenye msingi wa nyumba yetu-tunahitahi fundi wa kweli kwa ajili ya kufanya ukarabati mkubwa! wanaojiita mafundi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.