Hiyo coz iko st.joseph tu unajua wale wanaiita hivyo kutokana na mitaala ya India so ukiingalia kiundani ni kama telecom ya udsm ila ninachokifahamu telecom ni ka part tu ka communication so yenyewe iko wide kiaina, alafu ukifika pale chuoni utakuta ghorofa yao moja imeandikwa kwa maandishi...
oya foleni sio issue msilipe pesa kwenye account yoyote kama haujaithibitisha hiyo account no. Kwenye joining instruction mtalipa kwenye account za watu bila kujua sorry mi nawataadhalisha tu ila sina lengo baya kwa yeyote yule. NAWAKILISHA WAKUU
kama unataka maelezo kwa kina wasiliana na mm # 0754817242 Coz mm nimeshafika pale nikafahamu kila kitu piga nikufahamishe kwa kina kuhusu joining instruction
unajua jamani mada nyingine kama hujaelewa usijitie kimbelembele kuchangia kuna mapimbi ambao uwezo wao kuelewa mdogo lakini anajaza tu page kuhusu hii mada nimeikubali asilimia mia na moja kuanzia kwenye moyo mpaka kwenye mishipa yake, NAWAKILISHA MKUU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.