maswali mazuri sn ktk muongozo wa kesi. huyo anayesemekana kuwa ni dada mtu kama siyo daaaada mtu ndiye suspect no 1 kwenye haya mauaji, hope by now atakuwa underrested.
hakika kila nafsi itaonja mauti lakini kwa kifo cha kamanda barlo inaonesha Mwenyezi Mungu alivyokuwa na hasira na hawa wanaoitwa mapolisi kwa jinsi wanavyotoa roho za watu bila hatia. Malipo ni hapahapa dunia tunazidi kukomba ee Mwenyezi Mungu uzidi kutufunulia uwezo wako hata kwa watu...
hicho kijamaa kimelewa madaraka ndo maana kinaongea mambo yanayolingana na ufupi wake, ngoja nianze kukigonga makwenzi ili kizidi kudidimia. keep on chadema, keep on m4c!!
Pumzika kwa amani kaka na ndugu yetu Daud Mwangosi. Mungu atatenda lililo jema kwa familia yako ulioiacha hapa duniani. Hakika ni simanzi isiyokuwa na mwisho.
huyo mropokaji wa serikali dhaifu hana sera ndo maana ameshindwa kuwataja wanaM4C waliopokea rushwa.
alivyokuwa na kiherehere angekuwa tayari kasharopoka ila amepigwa buti la uso haoni kitu.
huyo jamaa ni kilaza mbayaaa.. hana upeo hata uwezo kiutendaji hana, nashangaa
alikubalije kuingia studio na kuwa live on air wakati anajijua kuwa yeye ni kilaza tu.
tabia hii ya waswahili kubebana ndiyo inayotuathiri ukizingatia unambeba mtu asiyebebeka.
watabana wee mwishowe wataachia.... walishalifungia sasa wamenogewa na wamefanya tabia
kulifungia tena. OMBI kwa Mh. Kubenea: tunaomba uwe unapost jamvini kwetu zile habari motomoto
nasi tutazichambua kwa kina halafu tutawahabarisha wananchi wengine ambao si wana jamvi, katika
kipindi hiki...
tumshukuru Mungu kwa kila jambo maana yeye ndiye muweza yote.
pole nyingi kwa familia ya Mh. Kiongozi wetu Joseph Selasini.
R I P Baba yetu, mzee wetu Roman Selasini.
pole sana mama mwambu. alikuwa mkuu wa chuo cha ualimu Ndalla-Tabora, japo alikuwa ni mnoko sana na asiyependa kusikia la mtu ila inapofikia kwenye swala kama hili inabidi tofauti tuziweke pembeni tumsamehe na kumtakia heri apone haraka.
yani NEC hawana hata aibu, wametuzuga wananchi kwa kututolea kwanza matokeo ya ubunge kumbe wao wamejichimbia wakichakachua matokeo ya urais, hii ni dhambi isiyosameheka.. Dr songa mbele mahakamani tupo nyuma wananchi wako tunakusupport kwa kila hali.
hilo nalo neno, Mh Slaa rais wetu mtarajiwa, Mh Mnyika na wote wenye uwezo wa kutia nguvu kwenye hayo majimbo ambayo CCM wanajaribu kuchakachua, chondechonde uwepo wenu maeneo yale ni support tosha kwa wagombea wenzenu ambao tunaimani kuwa na nao tayari ni Waheshimiwa wenzenu, uwepo wenu ni...
LISU we love u, we TRUST you... we know you can... acha wapoteze muda tunajua wanatafuta njia ya KUCHAKACHUA ila nafasi hiyo haipo, u r our HERO...... karibu sana mjengoni uwaadabishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.